sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » UZINDUZI WA BARABARA: Rais Magufuli awasili Stendi ya Biharamulo

 RAI John Mpombe Magufuli  akifungua barabara ya Biharamulo 
Rais John Magufuli amewasili katika stendi ya Biharamulo mkoani Kagera ambapo unafanyika uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Kagoma- Biharamulo-Lusahunga.


Pamoja na uzinduzi Rais Magufuli pia atahutubia wananchi ambako umati mkubwa umehudhuria uzinduzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 154.

Barabara hii ni muhimu kwa uchumi wa mikoa ya kanda ziwa, kanda ya kati na kanda ya magharibi.

Barabara hii inaunganisha mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma, Mwanza, Shinyanga na nchi jirani za Burundi, Uganda na Rwanda .
 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply