haya ni moja ya mashamba yalivamiwa na wachimbaji wandogo katika kata ya zongomera mtaa wa mwime wilayani kahama |
Mwenyekiti wa wachimbaji mkoa wa shinyanga Nicodemasi majambi akiongea na wachimbaji wandogo baada ya kuvamia mashamba pamoja na muwekezaji ambaye ana hati ya kumiliki eneo hilo la ilindi |
Mama huyo akiwa anaosha mchanga unaosadikiwa kuwa na dhahabu katika machimbo mapya ya mwime ilindi wilayani kahama hivi karibuni |
Huu ndiyo umati wa wachimbaji wandogo walivamia mashamba na ukosefu wa vyoo ni hatari sana kwa afya zao |
Wachimbaji wandogo na afisa madini sudi jemes mwenye shati la mikono mifupi na kofia akiangalia uvamizi huo ambao siyo halali |
Eneo la machimboni wachimbaji wakiwa wameweka uzuio kwa ajili ya usama wa mawe yao hapo machimboni |
Ukataji wa magongo ni chanzo cha huaribifu wa mazingira kama jinsi magongo yalivyovuwa |
Haya ndiyo mashamba yalivamiwa katika mtaa wa mwime mji wa kahama |
uahalibifu wa mazao |
Shunghuli za uchimbaji zikiwa zikiendelea ilindi mwime |
Afisa usalama wa madini kahama Sudi jemes akiongea na wachimbaji eneo hilo la ilindi |
Mazao yaliaharibiwa |
Mifuko ya mawe yanasadikiwa kuwa na dhahabu kati machimbo mwime ilindi |
Baadhi ya machine ya kuchoronga mawe chini ya mashimo katika machimbo ya mwime ilindi |
No comments: