![]() |
| haya ni moja ya mashamba yalivamiwa na wachimbaji wandogo katika kata ya zongomera mtaa wa mwime wilayani kahama |
![]() |
| Mwenyekiti wa wachimbaji mkoa wa shinyanga Nicodemasi majambi akiongea na wachimbaji wandogo baada ya kuvamia mashamba pamoja na muwekezaji ambaye ana hati ya kumiliki eneo hilo la ilindi |
![]() |
| Mama huyo akiwa anaosha mchanga unaosadikiwa kuwa na dhahabu katika machimbo mapya ya mwime ilindi wilayani kahama hivi karibuni |
![]() |
| Huu ndiyo umati wa wachimbaji wandogo walivamia mashamba na ukosefu wa vyoo ni hatari sana kwa afya zao |
![]() |
| Wachimbaji wandogo na afisa madini sudi jemes mwenye shati la mikono mifupi na kofia akiangalia uvamizi huo ambao siyo halali |
![]() |
| Eneo la machimboni wachimbaji wakiwa wameweka uzuio kwa ajili ya usama wa mawe yao hapo machimboni |
![]() |
| Ukataji wa magongo ni chanzo cha huaribifu wa mazingira kama jinsi magongo yalivyovuwa |
![]() |
| Haya ndiyo mashamba yalivamiwa katika mtaa wa mwime mji wa kahama |
![]() |
| uahalibifu wa mazao |
![]() |
| Shunghuli za uchimbaji zikiwa zikiendelea ilindi mwime |
![]() |
| Afisa usalama wa madini kahama Sudi jemes akiongea na wachimbaji eneo hilo la ilindi |
![]() |
| Mazao yaliaharibiwa |
![]() |
| Mifuko ya mawe yanasadikiwa kuwa na dhahabu kati machimbo mwime ilindi |
![]() |
| Baadhi ya machine ya kuchoronga mawe chini ya mashimo katika machimbo ya mwime ilindi |























No comments: