sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » JAMAANI WATOTO HAWA WANUSURIKA KUFA BAADA YA WATU WASIJULIKANA KUCHOMA NYUMBA YAO MOTO

 Moja wa watoto watatu walionusurika na ajali ya moto katika kijiji cha nyalwe lwe wilayani kahama mkoa wa shinyanga
 Mkono wakulia wa kijana ambaye amenusurika na kifo cha nyumba yao kuchomwa na moto na watu wasifahamika usiku .
 kijana akiwa hajui lolote akiwa hospital ya wilaya ya kahama baada ya kuokolewa na wasamalia wema usiku na kukibizwa katika kituo kidogo cha afya bulungwa .
 Mtoto akiwa hospitali ya wilaya ya kahama kwa ajili ya matibabu pembeni yake kuna dripu ya maji
 Nesi wa kiume akitoa  huduma moja ya watoto walionusurika na kuchomwa na moto ndani ya nyumba yao akiwa na mama yao ndogo. 
 Jamaani ndiyo katoto haka kakilia kwa uchungu baada ya kuungua sehemu ya mkono wake wa kulia ubavu wa kulia .
Mtoto huyu ambaye ameungua mguu wa kulia na kushoto akiwa hospitali ya wilaya ya kahama  kwa matibabu zaidi.


Na Mohab Dominick
kahama
7.8,2014

Watoto watatu wa familia moja wilayani kahama mkoani shinyanga  wanusulika kufa  kwa nyumba yao kuchomwa na moto  usiku wa jana na watu wasifahamika 
.
kwa mujibu wa mama yao melembe alisema kuwa hawa watoto waliachwa na mama yao ambapo yenye hafahamu mama yao alikwenda wapi usiku huo.

Adhia alizidi kusema kuwa yenye anaka mbali na sehemu ilikotokea ajali hiyo na kusema sijui ni kwa nini alihamua kuwacha watoto wake usiku huo .

jeshi la polisi wilaya limedhibitisha kwa kutokea kwa tukio hilo linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo.
Mwisho   

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply