Mkurungezi wa shule ya Rocken hill Alexzander kazimiri akipokea mgeni rasmi kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga justus kamugisha wakati halipowasili shuleni hapo .
Mkurungezi wa Rocken hill Alexzander kazimiri mwenye tai nyeupe na mgeni rasmi kamanda wa polisi wa shinyanga justus kamugisha kwenye mahafari ya kumi ya shule hiyo .
Vijana wa skauti wa shule hiyo wakimpokea kwa hesima mgeni rasmi ambaye hayupo pichani
Vijana wa shule ya Rockeni hill wakipokea kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga justus kamugisha .
Mkurungezi wa Rocken hill Alexzander kazimiri wakiwa na mgeni wake kuelekea ofisi kwa ajili ya kuweka sahihi kwenye kitabu cha wangeni shule hapo .
Mkurungezi wa Rockeni hill Alexzander akimkribisha kamanda wa polisi ofisini kwake hayupo pichani
Vijana wa shule ya Rocken hill wakiwa katika pozi lao kwa ajili ya mgeni rasmi kwa kwenda kukata utepe .
Kamanda karibu hukate utepe wa mahafari ya kumi ya shule ya Rocken hill
Karibu kamanda wetu shule kwetu .
Picha ya pamoja na mgeni rasmi kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga na uongozi wa shule.
Kamanda karibu tukuvishe sikafu kwa ishara ya upendo katika shule yetu ya Rockeni hill.
Mgeni Rasmi kamanda wa polisi mkoa wa justus wa kati akipokea heshima kwa vijana wa shule hiyo
Vijana wakitoa heshima kwa mgeni Rasmin kwenye jukwaa
Heshima mkuu .
Karibu shuleni kwetu mgeni rasmin justus kamugisha kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga kwenye mahafari ya kumi ya shule yetu .
Baadhi ya wanafunzi waliomaliza shule ya Rockeni hill
Kushoto mkurungezi wa Rockeni hill Alexzander kazimiri na kamanda wa polis wapokea heshima kwa vijana .
Mkuu wa shule ya Rockeni hill akipeana mkono na mgeni rasmini pembeni ni mke wa mkurungezi wa Rockeni hill mama Alexzander
Baadhi ya vijana ambao wamemaliza shule hapa wakiwa pamoja kwenye sherehe hiyo rasmini
No comments: