sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » SERENGETI FIESTA YA TISHA KAHAMA HAJAWAI TOKEA

 Hivi ndiyo siku ya jumapili yalivyokuwa kwa ajili ya fiesta kaka uwanja wa taifa mafundi wakiendelea na ujenzi wa jukwaa.
Crew ya mafundi umeme toka clouds wakifunga taa juu ya stage kwa ajili  ya show ya usiku
Fundi umeme wa clouds wakiweka taa kwa ajili ya show ya usiku
Hivi ndiyo hali ilivyokuwa kabla ya jioni kwa ajili ya serengeti Fiesta 2014 kahama
Vyakula mbalimbali kama vile nyama choma vilikuwape kwa ajili ya maadalizi ya usiku
Wataalum wa soud wakiweka mambo sawa kwa show ya usiku sperk jinsi zikiwa katika malekembisho
Baadhi ya bar mbalimbali zikiwa katika maadalizi kama zilivyokutwa uwanjani .

Pia wajasiliamali wadogo wadogo nao walipata fursa ya serengeti Fiesta katika uwanja wa taifa mjini kahama .
Hii ndiyo ilianza mafundi kujenga stange ya  serenget Fiesta kahama
Warembo wa baadhi ya Bar mbali mbali kwa ajili ya serengeti Fiesta mjini kahama
Plantinum Restaurant nao walikuwepo kuhakikisha mambo yanakwenda vizuri katika serengeti Fiesta.
Hili ndiyo OB Van ya matangazo ya clouds tv na clouds Radio kwa ajili ya kuona show yote live toka uwanja wa taifa kahama.
Wafanyakazi wa Plantinum Restaurant iliyoko mjini kahama karibu na ofisi za mamlaka ya maji kahama uwanjani bar hii ilikuwa magharibi wa uwamja wa taifa .
Hapa ni kazi tu Plantinum hakuna kulala
Meneja msaidizi aliinamisha kichwa chini kwa ajili ya kuangalia viywaji katika madeli ya barafu .
Maarifa Hotel nayo ilikuwepo katika viwanja vya halmashauri kahama
Moja ya msani wa Bong flav lihna akiwa amepanda juu ya stange wakati wa serengeti Fiesta
Moja ya msani wa bongflav akiwa juukwaani serengeti Fiesta
Baadhi ya washabikiwa serengeti Fiesta washagili moja ya msaani omi dimpos alipowapangawisha mashabiki wake.
Msaani wa bongflav akiwapangasha washabiki wake usiku wa serengeti Fiesta kahama .
Waasani wakiwa jukwaani kwa kushabulia show yao ya serengeti  Fiesta 2014

Umati mkubwa wa washambiki wa Bongflay waliofurika uwanjani hapo
Mr Blue akiwa juu stange huku umati  mkubwa wa umati wa wapenzi

Usiku hali ilikuwa hivi
weweeeeee hacha tu serengeti Fiesta siyo mchezo tumejipanga
Hawa ni wahudumu wa bar maharufu ya Galax pub  wakiwa katika sare zao kwa ajili ya serengeti Fiesta
Supu ya makongolo ilikuwepo mkiya wa ngombe.
Hii  ni Furaha ya Fiesta wafanyakazi wa galax pub
Mafundi crew ya clouds wakiwa juu wakiakisha OB Van ikiwa tayari kwa matangazo ya moja kwa moja toka uwanja taifa kahama.
We chenzea serengeti Fiesta hawa ndiyo warembo wa galax pub mjini kahama
Bar ya Bijampola nayo ilikuwepo katika maadalizi ya nyama choma
Viongozi wa kata wa serengeti Fiesta wakiwa katika kuweka sawa mambo ya Fiesta
We Viwanji mbali mbali vikiwa tayari kwa Fiesta/
Eneo maarufu kwa wajasilimali uwanja wa fisi  katika serengeti Fiesta mjini kahama /
Nyama choma ikitaharishwa
Wajasiliamali  wandogo wandogo nao walikuwepo uwanjani mapema tu .
Rast moja ambaye akuweza kujulika mara moja akiwa anafurahi serengeti Fiesta uwanjani
Pi Club Masai nayo hakuwa mbali katika kutengeneza mapochopocho .

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply