sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA

Bi Lawaridi sadi (46)akiwa kituo cha polisi mkoani singida kwa kosa la kutupa mtoto kwenye basi basi ililolilikuwa likielekea mkoani kigoma
 Madaktali wakiwa katika jitihada za kuokoa maisha ya mtoto mayasa meshack ambaye bibi yake alimtupa dirishani huku basi ilikiwa katika mwendo
 
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na  mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida ACP Thobias Sedoyeka, amesema mama huyo aliye tambulika kwa jina la Lawaridi Saidi mweye umri wa miaka 46 aliyekuwa akisafiri na basi namba T 981 ALS kampuni ya Salumu Clasc lilokuwa likitokea Dar-es-salaam na kuelekea Kigoma.

Amesema alipofika katika kijiji cha Iguguno wilaya ya Mkalama siku ya tarehe 18/12/2014 saa 2 usiku alimtupa mjukuu wake Mayasa Meshack dirisani huku basi likiwa katika mwendo kasi.

Tayari  jeshi la polisi mkoani Singida linamshikilia mwanamke huyo.
Mganga wa zamu katika Hospitali ya Mkoa wa Singida  Dkt  Adamu Hussen  amesema  alimpoke mtoto akiwa katika hali mbaya akiwa hapumui vizuri na damu  ilikuwa ikimtoka  masikioni na  baada ya kumpatia matibabu alilazwa na siku ya pili alifariki  dunia  kutokana na kupasuka kwa fuvu la kichwa.
Akieleza jinsi alivyo mtupa mjukuu waka,Lawaridi Saidi ambaye ni mkazi wa  K ongowe jijini Dar es salaam  amesema baada ya kuamka akiwa katika hali ya usingizi alijikuta akimchukua mjukuu wake Mayasa  na kumtupa dirishani na hatimaye abiria wakaanza kumpiga  na kuamuru basi lisimame na kumchukua  mtoto huyo.

.
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na  mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida ACP Thobias Sedoyeka, amesema mama huyo aliye tambulika kwa jina la Lawaridi Saidi mweye umri wa miaka 46 aliyekuwa akisafiri na basi namba T 981 ALS kampuni ya Salumu Clasc lilokuwa likitokea Dar-es-salaam na kuelekea Kigoma.

Amesema alipofika katika kijiji cha Iguguno wilaya ya Mkalama siku ya tarehe 18/12/2014 saa 2 usiku alimtupa mjukuu wake Mayasa Meshack dirisani huku basi likiwa katika mwendo kasi.

Tayari  jeshi la polisi mkoani Singida linamshikilia mwanamke huyo.
Mganga wa zamu katika Hospitali ya Mkoa wa Singida  Dkt  Adamu Hussen  amesema  alimpoke mtoto akiwa katika hali mbaya akiwa hapumui vizuri na damu  ilikuwa ikimtoka  masikioni na  baada ya kumpatia matibabu alilazwa na siku ya pili alifariki  dunia  kutokana na kupasuka kwa fuvu la kichwa.
Akieleza jinsi alivyo mtupa mjukuu waka,Lawaridi Saidi ambaye ni mkazi wa  K ongowe jijini Dar es salaam  amesema baada ya kuamka akiwa katika hali ya usingizi alijikuta akimchukua mjukuu wake Mayasa  na kumtupa dirishani na hatimaye abiria wakaanza kumpiga  na kuamuru basi lisimame na kumchukua  mtoto huyo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply