WATU ZAIDI YA MIA MOJA WAHOFIWA KUFA MCHIMBONI MADOGO KALOLE KAHAMA

 Eneo la machimbo ya madogo ya kalole wilayani kahama ambapo inakisiwa zaidi ya watu miamoja wamepoteza maisha katika machimbo hayo haramu .
Baadhi ya Duara ya simo la kuchimba Dhahabu katika kijiji cha kalole wiyani kahama 


Machimbo haya ya kalole mwaka jana mwezi wa tatu zaidi ya watu zaidi ya 8.walifariki Dunian.

Post a Comment

Previous Post Next Post