sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MAELFU YA WAKAZI WA JIMBO LA KAHAMA WAJITOKEZA KUMPOKEA MGOMBEA URAIS EDWARD LOWASSA

 Wangombea ubunge wa majimbo la ushetu  Isaya ,msalala Paulo na mgombea jimbo la kahama jemes lembeli wakiwa katika uwanja wa nyasumbi kuomba kura kwa wananchi wa majimbo yao

 Mgombea urais Edward lowassa akiwasili katika viwanja vya nyasubi kwa ajili ya mkutano wa kampeni
 Mgombea urais wa umoja wa katiba ya mwananchi ukawa Edward lowassa na mgombea  ubunge  jimbo la kahama  jemes lembeli .
 Mh khamis mgeja  wakiteta na mgombea wa jimbo la kahama jemes Lembeli katika viwanja vya nyasunbi mjini kahama mara baada ya kuwasili katika viwanja hiyo
 Mh khamis mgeja akitoa salamu za kampeni katika viwanja vya nyusubi mjin kahama
 Mgombea wa ubunge jimbo la kahama mjini jemes Lembeli akionyesha fimbo ya kuwachapia ccm siku ya kupinga kura kwa wananchi .
  
 Mh jemes Lembeli akihutubia wakazi wa jimbo la kahama muda mfupi tu baada ya kuwasili kwa mgombea urais wa ukawa Edward Lowassa ,katika viwanja vya nyasubi  Stand
 Ummati mkubwa wa kazi wa jimbo la kahama wakiwa katika uwanja wa nyusumbi stand
 Mgombea ubunge jimbo la Ushetu  Isaya akiombea kura na mgombea urais Edward Lowassa katika viwanja vya nyasumbi stand kahama
 Madiwani wa jimbo la kahama kupitia jimbo la kahama mjin wakiombewa kura na mgombea Urais Edward Lowassa katika viwanja vya nyasumbi stand
 Madiwani wa kata za kahama mjini wakiomba kura kwa wananchi wa jimbo la kahama
 Mgombea Urais kupitia umoja wa katiba ya mwananchi ukawa Edward Lowassa akisalimia na Diwani wa kata ya mwendakulima Tabo majambi
Aliyekuwa mwenyekiti mstafu wa ccm wilaya ya kahama mwenye kibagarashia kichwani mzee musoma ,Akisalimiana na mgombea urais Edward Lowassa muda mfupi tu baada ya kuwasili katika viwanja vya nyasubi stand

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply