sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » EDWARD LOWASSA ATINGISHA JIJI LA MWANZA UMMATI WA WAKAZI WA JIJI WAJITOKEZA KUMLAKI

 Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa nje ya Hotel ya Gold Crest asubuhi ya leo kusubiri kumuona Lowassa
 "Wanabiharamulo nimesikia tatizo lenu la maji,nipeni mbunge na madiwani wote itakuwa historia" 
  Asanteni Sengerema kwa kuyakubali Mabadiliko ya kweli leo15/10, viwanja vya Mnadani 
 Asanteni Mwanza kwa kukubali Mabadiliko ya kweli jana,Leo Jumanne 13/10/2015 ni zamu ya Geita 
 "Magufuli Funguo Tumeipata Lowassa Tu" 
 : Lawrence Masha akiongea na Wanabuchoswa leo J/nne 13/10/2015 
  Akiongea na wananchi wa Geita,uwanja wa Magereza Jumanne 13/10/2015 
  Akiongea na Wananchi wa Magu,katika viwanja vya 77 leo Alh 15/10/2015 
 Wanamagu wako tayari kwa mabadiliko katika Viwanja vya 77 leo Alhamisi 15/10/2015 
  Akiongea na Wananchi wa Magu katika viwanja vya 77,Alhamisi 15/10/2015 
 
Munisi: Nitawaonesha namna Daftari na mapungufu yake.
 Prof.Safari: Tutaandika barua kupeleka ICC, Jumuiya ya Madola na Umoja wa Mataifa!
  Akiongea na Wanasengerema,Viwanja vya Mnadani leo Alh 15/10/2015
  Akiongea na Wanasengerema katika Viwanja vya Mnadani leo 15/10 
 Akiwasalimia watu wenye ulemavu wa ngozi huko Mbogwe Shinyanga 14/10 
  
 Kituo cha Ofisi ya Kitongoji Azimio-1, Kata ya CHAHWA, Jimbo la Dodoma Dodoma Mjini Daftari lina makosa 17
   Akifundisha jinsi ya kupiga kura kwa wananchi Magu Alhamisi 15/10/2015 
  Akitoa elimu ya mpiga kwa wananchi wa Magu leo Alh 15/10,Viwanja vya 77 
  Wanamagu wakipeperusha bendera ushindi unakuja,leo Alh 15/10/2015 katika viwanja vya 77 
Asanteni Sengerema kwa kuyakubali Mabadiliko ya kweli leo15/10, viwanja vya Mnadani
 Wananchi wa jiji la Mwanza waliofika Gold Crest hotel kumlaki  kabla ya kuondoka leo asubuhi 16 Okt
santeni Mwanza kwa kukubali Mabadiliko ya kweli jana,Leo Jumanne 13/10/2015 ni zamu ya Geita 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply