sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MGOMBEA UBUNGE KUPITIA CHADEMA JIMBO LA USHETU ISAYA SAIMON BUKAKIYE AWASHA MOTO KATA YA CHONA KWENYE KIJIJI CHA BUSENDA

 Wananchi wa kijij cha Busenda kata ya chona jimbo la ushetu wakimpokea mgombea Ubunge kupitia chadema Isaya Saimon Bukakiye katika kampeni za ubunge jimbo la ushetu
 Mgombea ubunge jimbo la ushetu kupitia chadema Amepata Mapokezi makubwa katika kata ya chona kwenye kijiji cha Busenda ambapo maelfu ya wananchi walijitokeza kwenye mapokezi hayo
 Mgombea Ubunge jimbo la Ushetu Isaya Saimon Bukakiye akiwa na mkewe juu ya gari la wazi huku wananchi wakilisukuma gari lake kwa mikono kwenda kwenye kiwanja cha Busenda kata ya chona kwenye Mkutano wa kampeni
 Asante kwa mapokezi makubwa wananchi wa kijiji cha Busenda kata ya chona ambapo mgombea ubunge akiwasili katika viwanja vya busenda akiwa juu ya gari na mke wake akisalimia wapinga kura wake
 Hivi ndiyo wananchi wa kata ya chona wanavyoshangilia mabadiliko ambapo katika jimbo la kahama walikuwepo madiwani wanne wa upinzani ambao katika kata hizo walikumbali mabadiliko 210
 NI furaha Tu mke wa Mgombea Ubunge Kupitia chadema jimbo la ushetu Isaya saimon akipokelewa na kiongozi wa kata hiyo
 Hali ndiyo ilivyokuwa kwa watu wa kata ya chona kwa Furaha
 Mwenyekiti wa chadema Wilaya ya kahama mwenye Tsherti nyekundu Juma Protes kati nh jemes Lembeli na mwisho ni mgombea ubunge jimbo la ushetu Isaya saimon katika uzinduzi wa kampeni katika kata ya chona kijiji cha Busenda
 Mama huyo amesika bango la picha la mgombea wa chadema Isaya Saimon wakati wa mapokezi katika kata ya chona kijiji cha Busenda
 Wananchi wa kata chona wakisikiliza sera za chama cha maendeleo chadema wakati mgombea wa chama hocho Isaya Saimon Akihutubia wananchi wa kata hiyo.
Mgombea Ubunge jimbo la Ushetu kupitia Chadema Isaya saimon akiwa na mke wake kulia ni mgombea Ubunge jimbo la kahama Mjini Jemes Lembeli mwenye Fimbo kati
Mwenye Skafu shingoni ni meneja kampeni Zakaria shida soko na kati mwenyekiti wa Chadema wilaya ya kahama juma protes na mwenye fimbo ni mh jemes lembeli wakati wa kampeni katika kata ya chona kijij cha Busenda wilayani kahama wakiwa katika jimbo la Ushetu
Kikundi cha Hamasa cha chadema wilaya ya kahama kiwanga sera za chadema katika viwanja vya Busenda kwenye Uzinduzi wa kampeni wa chama hicho
BURUNDANI MBALIMBALI ZILIKUWEPO
MABADILIKO  ISAYA MBUNGE  MABADILIKO  Mohamend DIWANI NDIYO MANENO YA WANA CHONA WAKISEMA SASA NI MABADILIKO 2015
MH JEMES LEMBELI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAHAMA MJINI AKIWA MGENI MWALIKWA KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA USHETU ISAYA SAIMON AKIWAOMBEA KURA MBUNGE NA DIWANI WA KATA HICHO NA KUWATAKA WANA BUSENDA KUTOFANYA MAKOSA KATIKA UCHANGUZI  WA MWAKA HUU 
Wapeni kura hawa tufanye maendeleo ya kweli katika jimbo letu la Ushetu na kahama Mjini
Meiona hii fimbo ndiyo kiboko cha ccm tupeni kura tarehe 25.10.2015
Hapa ni mabadiliko tu 2015 chona
CHenzeeeeee wewe mwana maria wacha kambi na kafimbo ka kuwachapia haka
Mnakaona haka hapa juuu  wacheni kuchenza hapa mimi ni mtoto wa mtemi mimi sipendi mtu muongo kwangu tupeni haya majembe tukawanfanyie kazi
Mgombea Ubunge jimbo la Ushetu Isaya Saimon Akionyesha ishara ya ushindi juu ya hiyo fimbo kwa wananchi wa kata ya chona kwenye uzinduzi wa kampeni ya chama hicho
Chenzea Uchanguzi weeeee jimbo la Ushetu Mgombea Ubunge isaya Akionyesha fimbo mbele ya wapiga kura wake kama ishara ya ushidi katika jimbo la ushetu
Mgombea Udiwani kata ya chona Mohamend Muarabu akionyesha fimbo juu kama ishara ya ushindi
Naombeni kura ndugu zangu
Ni Furaha tu CHEZEEEEEE BUSENDA WEEEEE WACHA TU HUKU NI MABADILIKO TU HAKUNA CCM HAPA
Ndugu zangu naombeni kura zenu watu wa kata ya chona mimi mbunge Diwani na Rais wetu Edward Lowassa ili tuwalete maendeleo ya kweli kama mlivyoona kwa Diwani wenu Mohamend Mharabu

Wakinamama sisi sera yetu ni Elimu,kwanza  kuanzia shule za awali Mpaka chuo kikuu mtoto atasoma Bure
Mke wa Mgombea Ubunge Jimbo la Ushetu  kupitia chadema Mama Isaya akimuombea kura mume wake wakati wa uzinduzi wa kampeni katika kata ya chona 11.10.205 chona ni mabadiliko
Naombeni kura kwa mume wangu

Mgombea Ubunge jimbo la Ushetu Isaya saimon na mgombea Udiwani kata ya chona Mohamend Mharabu akimuombea kura kwa wananchi wa kata hiyo na kusema kuwa kata ya chona mfano wa kuingwa katika jimbo la ushetu na jimbo la kahama wao walikumbali mabadiliko toka mwaka 2010

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply