sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MIKATABA YA MADINI,KUJIMILIKISHA MGODI MGEJA AMLIPUA MKAPA

 Mjumbe wa kamati ya Mgombea Urais Chadema Edward lowassa Khamis mgeja akiwasili katika viwanja vya kangongwa mjini kahama katika kampeni za urais
 Mjumbe wa kamati ya mgombea urais chadema Khamis Mgeja akihutubia wakazi wa kangongwa .
 Tumekubali mabadiliko kangongwa Khamis Mgeja



MJUMBE wa Kamati ya Taifa ya Kampeni za mgombea Urais wa Chadema,Edward Lowassa,anayeungwa mkono na vyama vya Ukawa,Khamis Mgeja alisema, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa,anastahili kufikishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kujimilikisha mali za umma akiwa Ikulu.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply