Makamu Mkurugenzi
wa kampuni ya Halotel mkoani Shinyanga Alexander Mushi Mwenye koti Akiongea na vyombo vya habari wilayani kahama.
Alexander Mushi makamu mkurungezi wa halotel mkoa wa shinyanga Mwenye koti hakiwa na meneja wa wilaya ya kahama Noan kalibwami wakiwa eneo la mahakama ya wilaya ya kahama
Alexander Mushi makamu mkurungezi wa halotel mkoa wa shinyanga Akifanya mahojiano na vyombo vya habari
Kahama
Kampuni
ya simu za mkononi nchini ya Halotel imeitaka
jamii mkoani Shinyanga kutoa ushirikiano kwake ili kukomesha hujuma ya wizi wa vifaa katika minara ya kampuni hiyo ambao unaendelea sasa mkoani wamepata hasara ya milion 30.6
Makamu Mkurugenzi wa kampuni hiyo mkoani Shinyanga Alexander Mushi alisema kuwa kumekuwa na matukio ya wizi wa baadhi ya nyara katika minara ya yake na ambao unafanywa na kuitia hasara kampuni hiyo.
jamii mkoani Shinyanga kutoa ushirikiano kwake ili kukomesha hujuma ya wizi wa vifaa katika minara ya kampuni hiyo ambao unaendelea sasa mkoani wamepata hasara ya milion 30.6
Makamu Mkurugenzi wa kampuni hiyo mkoani Shinyanga Alexander Mushi alisema kuwa kumekuwa na matukio ya wizi wa baadhi ya nyara katika minara ya yake na ambao unafanywa na kuitia hasara kampuni hiyo.
No comments: