sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO MILION 30.6 HALOTEL KAHAMA

 Makamu Mkurugenzi  wa kampuni ya Halotel  mkoani Shinyanga Alexander Mushi Mwenye koti Akiongea na vyombo vya habari wilayani kahama.





 Alexander Mushi  makamu mkurungezi wa halotel mkoa wa shinyanga Mwenye koti hakiwa na meneja wa wilaya ya kahama Noan kalibwami wakiwa eneo la mahakama ya wilaya ya kahama




 Alexander Mushi  makamu mkurungezi wa halotel mkoa wa shinyanga Akifanya mahojiano na vyombo vya habari


Kahama 

Kampuni ya simu za mkononi  nchini ya Halotel imeitaka
jamii mkoani Shinyanga kutoa ushirikiano kwake ili kukomesha hujuma ya wizi wa vifaa katika minara ya kampuni hiyo ambao unaendelea sasa mkoani wamepata hasara ya milion 30.6


  Makamu Mkurugenzi  wa kampuni hiyo mkoani Shinyanga Alexander Mushi alisema kuwa  kumekuwa na matukio ya wizi wa baadhi ya nyara katika minara ya yake na ambao unafanywa na kuitia hasara kampuni hiyo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply