sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI MJI KAHAMA YAIMBUA MAMBO MAKUBWA

baadhi ya viongozi meza kuu wakiwa katika ukumbi wa kikao cha baraza la madiwani aliyeshika mkono kifuani  ni mbunge viti maalum chadema salome makamba 
 
wakuu wa idara wakiwa mbalimbali za halmashauri ya mji wakiimba wimbo wa taifa kabla ya baraza kuanza 

Mh Mbunge viti maalum  salome makamba akisikiliza majibu toka kwa mkurungezi wa mji EDSON MUSUMBA

 Baadhi  ya madiwani wa halmashauri ya mjin wa kahama  


madiwani wakiwa katika kikao cha baraza wakisikiliza hoja za baadhi ya madiwani katika ukumbi wa halmashauri
KAHAMA

Wakuu wa idara wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kujenga tabia za kuwatembelea madiwani na kukusanya taarifa za maendeleo ya Miradi inayojengwa kama sehemu ya uwajibikaji

Rai hiyo imetolewa na Mbunge wa jimbo la kahama Bw. Jumanne Kishimba wakati akitoa Mchango kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Mji huo

 Kishimba amesema kuna baadhi ya wakuu wa Idara ambao wamekuwa wakiratibu  na kuandaa taarifa za ujenzi wa Miradi hiyo wakiwa Ofisini bila kuwashirikisha madiwani
Mbunge huyo amesema jambo hilo siyo sahihi kwakuwa madiwani ndio wawakilishi wa wananchi hivyo wanatakiwa kuhusishwa katika kuandaa na kutoa taarifa hizo.         

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply