sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » RAIA 12 WA BURUNDI,WAKAMATWA NA UHAMIAJI- KAHAMA

  Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani shinyanga  Anamaria Yondani.
 Baadhi ya baiskeli zinazotumika kwa wahamiaji haramu ambapo idara ya uhamiaji mkoa wa shinyanga wamefanya msako mkali na kukamata waendesha bodaboda wa baiskeri na kujifanya ni wakazi wa wilaya ya kahama mkoani shinyanga,
Baiskeli ambazo zimekamatwa na idara ya uhamiaji wilayani kahama 
 
Idara ya uhamiaji wilayani Kahama Mkoani Shinyanga imewakamata Raia 12 kutoka nchi jirani ya Burundi kwa kosa la kuingia, kuishi na kuendesha shughuli mbali mbali  hapa Nchini bila vibali jambo ambalo ni kinyume cha Sheria za nchi.

Kukamatwa kwa watu hao kumefuatia Operesheni maalum ya Idara hiyo ngazi ya Mkoa ikiongozwa na Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani humo Anamaria Yondani.

Naibu kamishina huyo alisema msako mkali kwakutumia mbinu mbali mbali za jeshi la uhamiaji ndio uliopelekea kuwakamata raia 10 wakiendelea na shughuli zao katika maeneo mbali mbali ya Mji wa kahama ambapo wawili walijisalimisha wenyewe katika ofisi za uhamiaji.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply