sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WANACHI WATADHAZARISHWA KUWEKA FEDHA BENKI NA TASISI ZA FEDHA ZA KUWEKA NA KUKOPA SACCOS .

Mgeni rasmi katika kikao hicho maalum,Colnel Mwasote ambaye ni Afisa kutoka idara ya kilimo Mifugo na Ushirika katika Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo aliwataka Viongozi hao kuhakikisha wanaielimisha jamii kuhusu Mikopo
 
 Meneja wa asasi inayojihusisisha na akipa na mikopo wilayani humo jitihada saccos Lazaro Kasigara wakati akizungumza na viongozi  kutoka katika vitongoji,Vijiji na kata zote za wilaya Ngara
Wazilishaji wa  jitihada saccos wilayani ngara na pia ni diwani msaafu kata ngra mjini 

Baadhi ya watumishi wa jitihada saccos wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi kwenye kikao maalum cha wanachama na wajumbe wa jitihada  Saccos 
 
Mgeni Rasmi Colnel Mwasote ambaye ni Afisa kutoka idara ya kilimo.
wajumbe wa saccos wakisikilza maada muhimu juu ya kupata mikopo ya kilimo

wajumbe wa jitihada saccos
 
 Baadhi ya wajumbe wa jitihada saccos wilayani ngara wakisikilioza hotuba ya mgeni  juu ya kuweka fedha zao katika saccos salama .
Wajumbe wa saccos jitihada wakisiliza hotuba ya mgeni rasmi katika ukumbi wa kanisakanisa la kianglikana Lusahunga
 NGARA

VIONGOZI wa serikali za mitaa wilayani biharamulo Mkoani kagera wametakiwa kuwaelekeza wananchi kujenga tabia za kuhifadhi fedha zao katika benki na taasisi nyingine za kifedha zikiwemo asasi za kuweka na kukopa.

Rai hiyo imetolewa na Meneja wa asasi inayojihusisisha na akipa na mikopo wilayani humo JITIHADA SACCOS . Lazaro Kasigara wakati akizungumza na viongozi hao kutoka katika vitongoji,Vijiji na kata zote za wilaya hiyo katika mkutano uliofanyika January  kwenye ukumbi wa kanisa la kianglikana lusahunga.

Katika mkutano huo uliowahusisha wenyeviti wa Vijiji vyote 80 na kata 17,Kasigara aliwataka kuwaelekeza wananchi kufungua akaunti kwenye benki mbali mbali n a kujiunga na Vikundi vya kuweka na kukopeshana fedha ambazo zitawasaidia katika kuedesha shughuli mbali mbali za maendeleo ikiwa ni pamoja na kupata mitaji ya kufanyia biashara.
 
 
   

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply