sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » Jeshi la Polisi kanda Maalumu Dar, limepiga marufuku maandamano ya Vijana wa CHADEMA kwenda Ikulu

Jeshi la Polisi kanda Maalumu Dar, limepiga marufuku maandamano ya Vijana wa CHADEMA kwenda Ikulu kwa lengo la kushinikiza TBC ionyeshe Bunge LIVE.

Kamanda Sirro alisema kuwa hakuna taarifa na pia hakuna uthibitisho kuwa maandamano hayo yatapokewa na Rais Magufuli.
Pia, Kamanda Sirro alieleza kuwa BAVICHA hawakuanisha barabara ambazo wanatarajia kutumia katika maandamano hayo. “Siku hiyo sio nzuri sana kwa sababu ni siku ambayo watu wanakuwa kazini.
 Ni siku ambayo wengi watataka kutumia barabara hizo kwa ajili ya huduma za kijamii. Na kwa sababu kuna option nyingine ya kuweza kupata suluhu hiyo, nisema tu kwamba maandamano hayo yamepigwa marufuku,” alisema.
 umeongea mpendwa  hapana tunaweza kuangalia hilo si lazima iwe live. Sijui unanielewa ndugu. Maandamano yananguvu ya kubadilisha mawazo ya serikali ikiwa sikivu. Raisi ni muhimil mwengine wa serikali hii hoja ilikua bungeni so its better kutafuta muafaka huu na mtu wa moja kwa moja wa bungeni na hapo naongelea wazir wa habari na kumfuata raisi juu ya hoja hii ni below his paygrade... Kuna watu walioko chini yake wanaweza kulitatua hili. Mamlaka yake ni kubwa mno kufuatwa kuhusu swala la tbc kuonesha bunge live. Bawacha kua na advantage ya kua dsm ambapo mihimili miwili ya serikali ipo isiwe sababu ya kupeleka hoja hii kwa raisi. Sijaona uhalali wake kwenda kwakwe direct.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply