sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » KAURI MBIU YA SIKU YA SHERIA NCHINI NI HUDUMA ZA HAKI KUMLEGA MWANANCHI WAJIBU WA MAHAKAMA NA WADAU

Baadhi ya viongozi wa serikali wakiwa katika viwanja vya makahama katika kilele cha siku ya sheria nchini

Shekhe wa wilaya ya kahama Omary Damuka  akitoa dua kwa ajili ya kuunza mwaka wa kimahakama nchini katika viwanja vya mahakama mjini kahama

MH hakimu Latiifa ambaye alikuwa ni mc katika shunghuli hizo wakishilikiana na Mh  Bantega katika viwanja vya mahakama

kiongozi wa Dini  mchungaji Patrick kulije akioa Dua kwa ajili ya kuombea Dua kwa kuanza mwaka wa kimahakama



 Baadhi ya wadau wa sheria kahama pia ni waandishi wa habari wakiwa katika viwanja vya mahakama kwa ajili ya kilele cha siku ya sheria na kuanza mwaka wa kimahakama mwaka huu .

Baadhi ya Wateuli kwa ajili ya kuwapokea wangini mbalimbali wanaowasili katika viwanja vya mahakama ambapo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya ya kahama vita kawawa  kama jinsi anavyowasili katika viwanja vya mahakama huku waheshimiwa Evelyne Vedasto  na  Mh Eva kassa wakimkaribisha mkuu wa wilaya ya kahama .

MH hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya kahama Evodi Kryaruzi  akelekea katika uwanja wa sherehe za siku ya sheria katika viwanja vya mahakama ya wilaya .

Shekhe wa wilaya Omary Damuka wakiwasili eneo la sherehe ya siku ya sheria huku akipokelewa  na Mh EVa kassa katika viwanja vya mahakama .

Mkuu karibu sana hayo ndiyo maneno ya waheshimiwa makakimu wa mahakama ya wilaya ya kahama wakati wa kumkaribisha  mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa wilaya kahama vita kawawa.
 Karibu mkuu wa wilaya ni maneno ya Mh Evelyne Vedasto katika viwanja vya mahakama mjini kahama

 Karibuni Mashekhe  Wetu

 Mkuu wa wilaya ya kahama mwenye suti nyeusi akiongozana na hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya kahama Evodia Kryaruzi kwenda kwenye viwanja vya mahakama .

 Mgeni rasmi mkuu wa wilaya akiongozana na hakimu mfawidhi wa makama ya wilaya ya kahama Mh Evodia Kryaruzi .

 Baadhi ya Wadau wa siku ya sheria

 Mh Evodia Kryaruzi akitoa hotuba na maudhiwi ya siku ya sheia na kuanza mwaka wa kimahakama mwaka huu  na kusema kuwa kauri mbiu ya mwaka huu ni Huduma za haki kumlenga mwananchi wajibu wa mahakama.

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi korongwe wilayani kahama  wakisikiliza Hotuba ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya kahama  Vita kawawa  kauli  mbiu ya kuanza kwa mwaka wa sheria

Baadhi ya  Wazee wa mahakama wakiwa katika viwanja vya mahaka wakisiliza hotuba ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa


 Mkuu wa polisi wilaya ya kahama Georger kyando akitoa ufafanuzi juu ya kutumia sheria vizuri

Kaimu mkuu wa kitengo PCCB mkoa wa shinyanga Lugomela Amos akieleza umuhimu wa siku hii ya sheria na kutoa wito wa wananchini kuwacha kutoa Rushwa na kupokea Rushwa ya aina yonyote ni kusa haki yako ya msingi

 Mwalimu wa shule ya msingi korongwe wakisikilza hotuba ya Hakimu mfawidhi juu ya ujumbe wa siku ya sheria

Wazee wa Mahakama

Wadau wa sheria kahama

 Wadau wa sheia

 Baadhi ya waandishi wa Radio kahama fm na jembe Fm ya mwanza wakiwa maki ni kuandika habari juu ya siku ya sheria

 Kamishina wa Idara Ya uhamiaji wilaya ya kahama Zakaria Misana akitoe maelezo juu ya sheria ya kuajili wangeni kinyume na sheria za nchini .

 Mh Hakimu mkuu  mfawidhi   Hermes Byarugaba  wenye suti  wakisikiza hotuba ya mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa 

Meneja wa NSSF Mkoa  kahama Omary Mziya akisikiliza Hotuba ya mgeni Rasmi mkuu wa wilaya ya kahama

Viongozi

Rahma Saidi Mdau wa sheria kahama

 Mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa

Kamati ya ulinzi na Usalama ya wilaya kahama katika picha ya pamoja siku ya sheria ambapo mahakama inaza .

 Waheshiwamiwa Mahakimu wa wilaya ya kahama wakiwa katika picha ya pamoja katika siku ya kuanza mwaka wa mahakama nchini Tanzania

Picha ya pamoja ya watumishi wa mahakama na mgeni Rasmi mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa mwenye suti na Tai

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply