CHADEMA WAFANYA MKUTANO WA HADHARA MWANZA

 Chadema  Kutakuwa na mkutano wa hadhara leo Jumapili 13/3/2016,uwanja wa Furahisha 

  Wananchi wa Mwanza wakiwa wanaendelea kuwasili katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza muda huu

Umati wa wafasi wa chadema wakiwa katika viwanja vya furahisha jiji mwanza 

Freeman Mbowe akiwasili viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, leo Jumapili 13/3/2016.

  Mhe. Edward lowassa  akiwasili viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, leo Jumapili 13/3/2016

  Meza Kuu ya Viongozi wakiwa wameshawasili katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza Machi 13/2016 

Post a Comment

Previous Post Next Post