By: Mohab Dominic
on 04:26
/
|
Mh jemes Lembeli |
|
Mh Rais wa jamhuri ya Tanzania Joseph pombe maguruli akishikana mkono na alikuwa mbunge wa jimbo la kahama jemes lembeli katika viwanja vya milango kumi mjini kahama ambapo rais alifanya ziara ya siku moja |
|
Mh Lembeli akiwa na Rais josepha pombe magufuli katika viwanja ya milangpo kumi mjini kahama
|
KAHAMA
Aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la kahama mjini katika uchanguzi mkuu mwaka jana kwa tiketi ya chadema jemes lembeli amesema kuwa hana mpango wa kuhama chama cha maendeleo ya wanachi chadema na kurudi ccm mimi magufuli ni Rafiki yangu toka zamani ila mimi nilikuwa nataka mabadiliko ndani ya chama cha ccm lakini nilionekana ni msaliti kwa kusema ukweli haya anavyofanya mh Rais ndiyo mimi nakumbalianaye ndani ya ccm kulikuwa na Rushwa kubwa ,na hasa katika hizi halmashauri zetu alisema lembeli .
Tag:
habari
matukio
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin
We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
No comments: