sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MH JEMES LEMBELI KUHAMA MSIKITI SIYO KUHAMA SIASI

 Mh jemes Lembeli 

 Mh Rais wa jamhuri ya Tanzania Joseph pombe maguruli akishikana mkono na alikuwa mbunge wa jimbo la kahama jemes lembeli katika viwanja vya milango kumi mjini kahama ambapo rais alifanya ziara ya siku moja 

 Mh Lembeli akiwa na Rais  josepha pombe magufuli katika viwanja ya milangpo kumi mjini kahama 
KAHAMA

Aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la kahama mjini katika uchanguzi mkuu mwaka jana kwa tiketi ya chadema jemes lembeli amesema kuwa hana mpango wa kuhama chama cha maendeleo ya wanachi chadema na kurudi ccm  mimi magufuli ni Rafiki yangu toka zamani ila mimi nilikuwa nataka mabadiliko ndani ya chama cha ccm lakini nilionekana ni msaliti kwa kusema ukweli  haya anavyofanya mh Rais ndiyo mimi nakumbalianaye  ndani ya ccm kulikuwa na Rushwa kubwa ,na hasa katika hizi halmashauri zetu alisema lembeli .

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply