sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » JPM HAKUNA MCHANGA UTAKAOSAFISHWA NJE YA NCHI TOKA MIGODINI


 RAIS John Pombe Magufuli Amesema hakuna mchanga wowote wa madini kwenda nje ya nchini 

 Moja wa mgodi wa Dhahabu huliopo wilayani kahama  wa Buzwagi kati ya migodi inayosafirisha mchanga nje ya nchi ambapo Rais magufuli amepinga Marufu kusafirisha mchanga  huo 

Mitambo ya kuchimba dhahabu  katika mgodi wa buzwagi ambapo uchimbwa kwa dhahabu hiyo na baadhi ya mchanga wenye  madini kusafirishwa nje ya nchi kwa utalamu zaidi 


 Moja ya Dapa  la kubeba  mawe ya dhahabu na madini mengine baada ya kuchambuliwa katika mgodi huu uliopo wilayani kahama 

 Eneo moja wapo  la shimo la mchanga wa dhahabu 

 Moja ya Madapa Makubwa yakiwa katika hatua ya kupakia mchanga au mawe yenye dhahabu katika mgodi wa dhahabu  

 Dapa kubwa linyeuwezo wa kupakia tani 200 za mawe ya dhahabu katika mgodi wa dhahabu wilayani kahama 


 Baadhi ya Maroli yakiwa yamembeba Makotena ya mchanga wa  madini mengine toka mgodi wa dhahabu wa buzwagi Acaci  yakiwa yanaelekea jiji  dar kwa kusafirisha nje ya nchi

baadhi ya maroli  ya mchanga toka mgodi wa buzwagi kuelekea jiji dar kwa kupelekwa nje ya nchini. 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply