sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MAYOR’S AWARD. USHETU YA KWANZA KWA HALMASHAURI 168

Mkuu wa mkoa wa mara Charles Mlingwa akipongeza mbunge wa ushetu Mh Elias kwandikwa na mkurungezi  Mtendaji wa  halmashauri ya ushetu michael Matomora kwenye mkutano mkuu wa ARAT TAIFA  ambapo mwaka huu umefanyika mkoa wa mara.

 Mbunge wa jimbo la ushetu  Mh Elias kwandikwa akiwa juu ya Trekta ambalo wamepewa na Bank ya NMB kwa ushindi wa kwanza katika mashindano ya mayors award 

Mwenye ngao ni mkurungezi wa halmashauri ya ushetu Michael Matomora na mwenye miwani ni mbunge wa jimbo la ushetu mh Elias kwandikwa mwenye suti ya kaki ni mkuu wa mkoa wa Mara charles Mlingwa kwenye mkutano mkuu wa  ARAT 

 Mbunge wa jimbo la ushetu Elias Kwandikwa  kati ni Mkurungezi wa Halmashauri ya ushetu  Michael Matomora 


 Hongereni kwa ushindi ushetu 

Meneja wa masoko wa TSN januarius  Maganga  akipongeza mkurungezi wa  ushetu na mbunge wa jimbo hilo Elias  kwandikwa kwa ushindi wa kitaifa wa  mayors award mjini mjin  musoma 

 Mkuu wa mkoa wa mara Charles Mlingwa akiwa juu ya Trekta ya ushindi wa mayors Award  huku Mbunge wa jimbo la ushetu Elias Kwandikwa Akishuudia   tukio hilo  kukabidhiwa kwa chombo hicho 


Pongezi na hongereni wote kwa kazi nzuri mkuu wa mkoa wa mara charles Mlingwa 

 Mwenye koti la kaki ni mbunge wa jimbo la ushetu  Elias Kwandikwa kati ni mkurungezi Mtendaji wa Halimashauri ya ushetu Michael Matomora mwenye Tai Nyekundu ni meneja wa Masoko TSN   J S Maganga 

 Meneja wa masoko TSN  J S maganga akibadilisha mawanzo na  mbunge wa jimbo la ushetu Elias Kwandikwa Katika ofisi ya Halmashauri ya Ushetu kati ni mkurungezi wa ushetu Michael Matomora.

 Mkurungezi Mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu Michael Matomora Akibadilisha mawanzo na mbunge jimbo la Ushetu Elias Kwandikwa na Meneja wa masoko wa TSN  JS Maganga Katika ofisi za ushetu.

KAHAMA

 
Halmashauri ya Ushetu iliyoko wilayani Kahama Mkoani Shinyanga imeeleza kutumia ushindi ilioupata kuwa chachu na hamasa ya maendeleo kwa wananchi hasa ikittumia fursa na nyenzo zake

Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Michale Matomola na kusema kuwa Ushindi wa halmashauri hiyo umeitoa kimasomaso halmashauri hiyo na kuwa faraja wananchi wote wa wilaya ya Kahama,Mkoa wa Shinyanga na Taifa kwa ujumla

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply