sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MWENGE WAZINDUA MIRADI YA BILION 1.6 HALMASHAURI YA USHETU MWAKA 2016

 Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu akimkabidhiwa Mkurungezi Mtendaji Wa  Halmashauri ya ushetu Michael Matomora  mwenge wa uhuru  katika kijiji cha chona katika Halmashauri mji wa kahama 

Moja ya mradi iliyofunguliwa na mbio za mwenge katika halmashauri ya ushetu mwaka huu hii ni moja ya  Wodi ya wazazi 

 Kiongozi wa Mbio za mwenge wa kitaifa George Jackson Mbijima akikata utepe  wa wodi ya wazazi  Halmashauri ya Ushetu 

 Moja ya uzinduzi wa mradi wa chanzo ya ngombe ambapo mkimbiza mwenge kitaifa alizundua mradi huo 

 Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu 

 Mkuu wa wilaya ya ya kahama FADHILI Nkurlu Mwenye Kofia Nyeupe Kati ni Mkurungezi  Mtendaji Wa Halmashauri ya Ushetu Michael Matomora akitoa maelekezo ya mradi Mbalimbali ya Mradi

 ANGALIA PICHA ZA MATUKIO YA MIRADI USHETU 









 Moja ya bweni la wanafunzi wa shule ya sekondari 

Kiongozi wa mbio za mwenge wa Kitaifa George Jackson Mbijima akikata utepe wa jiwe la  mradi wa maji 


 Kiongozi wa Mbio za mwenge wa Kitaifa akifungua Bomba la maji kama ishara ya ufunguzi wa mradi wa maji 

 Kiongozo wa Mbio za mwenge George Jackson  Mbijima 

 Wakifurahi mbio za mwenge 

 Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu kati ni mkurungezi wa Mtendaji wa Halmashaurii ya Ushetu Michael Matomora  kushoto  ni mkuu wa polisi wilaya ya kahama 

  Mwenge OYEEEE 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply