sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » Rais Dkt John Magufuli Amtolea Uvivu Lissu..Msikie hapa mwenyewe


Rais John Magufuli amesema kuwa Serikali imetatua Changamoto mbalimbali pamoja na Madawati kwenye Jimbo la Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.
“Tumetatua changamoto ya madawati…sasa hivi hata watoto wa TunduLissu wanakaa”
Magufuli amesema kuwa kuna “Wengine mmewachagua lakini wanaongelea ya Dar es Salaam tu…Kosea kuoa unaweza kutoa talaka, lakini usikosee kuchagua”

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply