sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» »Unlabelled » ABIRIA ZAIDI YA 750 NA MABASI 12 NA MAROLI 15 YAKWAMA MASAA 8

   Dec 10.2013
          Abiria 750 wakwama tabora masaa 8


Zaidi ya abiria 750 wakwama katika barabara kuu toka  tabora kwenda  nzega yakiwemo mabasi kumi na mbili na maroli kumi na tano.

Mabasi hayo ambayo hufanya safari zao za kila siku kutoka tabora na kwenda jijini mwanza na mikoa mbalimbali hapa nchini.walikwama katika kijiji cha kimpugala wilayani uyui mkoani tabora ambapo mvua kubwa ziandelea kunyesha katika mkoani hapa.

Baadhi ya abiria waliokuwemo kwenye mabasi ya mbongo na Am yaliokuwa yanatoka tabora kwenda jiji mwanza majira ya asubuhi saa 12.00 walisema walikwa katika kijiji cha kimpugala asubuhi saa 1.asubuhi.

Mmoja wa abiria khadija athumani ambaye alikuwa akielekea jiji mwanza aliambia gazeti la nipashe kuwa mvua kubwa ambayo ilikuwa ikinyeshe asubuhi hii ndiyo chanzo za hizi barabara kukatika kutoka na mvua hizi zinaondelea kunyesha.

Aidha khadija alizidi kusema kuwa wajenzi wetu wamesahau kuweka njia za kupitisha maji haya  ni mengi sana hivi sasa mvua nyingi ni bado tuombe mh waziri john magufuli kuwangalia kwa karibu sana hawa wajenzi kuweka vizuri njia .

Naye juma mabula ambaye alikuwa akisafiri kwenda musoma alisema kuwa tumechukua muda muda mwingi sana kuomba msaada ilipofika saa 6 mchana tulifanikiwa kupata  kampuni ya chico  inayofanya kazi ya ujenzi wa hiyo barabara. toka tabora mpaka nzega kwa kiwango cha lami.

Akifafanua zaidi mabula alisema mabasi yalikuwepo hapa ni zaidi 12 na maroli 15 kulikuwa na umati wa watu wengi sana kama wewe muandishi hunayoa watu.wakinamama na watoto wamepata tabu kubwa sana hapa

“wewe angalia huu umati mkubwa watu soda moja inauzwa elf moja na mia tano 1,500/= na maembe moja limeunzwa elf moja huoni hii ni hatari ndugu yangu muandishi ila tunamshuru sana mwenyezi mungu mvua ilikuwa imekati ingekuwepo sijui tu hali ya hapa igekuwa je ,alisema moja wa safari.

Abiria hao wameomba serikali kuangali hizi barabara wakati wa ujenzi ili kuona sehemu zipi kolofi iliziweze kurekebishwa mapema kabla ya madhara makubwa kutokea.

Polisi mkoani tabora imedhibitisha kutokea kwa kukwama kwa mabasi hayo na maroli za ya kumi na tano.
Mwisho





 MVUA MKUBWA ZINAOZOENDELEA KUNYESHA MKOANI TABORA ZIMESABISHA ABIRIA ZAIDI YA 750 KUKWAMA BAADA YA MVUA HIZI KUHARIBU MIUNDOMBINU
 BASI LA KAMPUNI YA AM NAMBA T606 AME  AMBALO LITOKA TABORA KWENDA JIJI MWANZA  LIKWAMA KATIKA KIJIJI CHA KIPUMGULA  ZAIDI YA MASAA 8
 BAADHI YA MABASI YAKIWA HAWAJUI HATI YA SAFARI YAO
 MMOJA WA ABIRIA AKIWA HANA LA KUFANYA NI KUTEMBEA KUANGALIA MADHARA MVUA KUBWA ILIYONYESHA NA KUSABISHA KWA KUKWAMA KWA MAROLI NA MABASI
 HILI NDIYO MOJA YA MABASI YALIKWAMA KWENYE TOPE ZITO
 BAADHI YA ABIRIA WAKIJALIBU KUPEANA MAWANZO JINSI YA KUJIKWAMUA KATIKA HALI HIYO
 BAADHI YA WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA CHICO WAKITAFAKARI JINSI YA KUTOA MSAADA WA KUWANUSURU ABIRIA HAO.
 HALI BARABARA NJISI HINAYONEKANA NA FOLENI YA MAGARI YALIVYOKWAMA
 GARI KAMPUNI YA CHICO WANAOJENGA BARABARA YA KIWANGO CHA LAMI LIKIJALIBU KULITOA BASI LA KAMPUNI YA AM LILOKWAMA KATIKA KIJIJI CHA KIMPUNGULA WILAYANI UYI MKOANI TABORA
 BAADHI YA ABIRIA WAKIJALIBU BILA YA MAFANIKIO KULISUKUMA BASI LA KAMPUNI YA MBONGO
 BAADHI YA KINAMAMA NA WATOTO WAO WAKI KATIKA TAFAKALI JUU YA SAFARI YAO
 WAFANYABIASHARA NAO WAKUWA MBALI SANA WAKATI WA MAJANGA WAO HUWA WANAWAZA KUFANYA BIASHARA YAO BILA KUANGALI HALI HALISI KAMA WANAYONEKA WAKIUNZA MAADAZI
 WAKINA MAMA NA WATOTO WAO HAWAJUI LA KUFANYA
 BASI LA KAMPUNI LA ALLYS LINALOFANYA SAFARI KATI YA MWANZA NA URAMBO NA KALIU MJNI TABORA LIKIWA LIMEZAMA KWENYE MATOPE
 WAFANYABIASHARA NAO WALIFIKA KUFANYA KAZI YAO YA KUUZA CHAKULA KAMA MAMA HUYO ANAYONEKA AKIWA NA KULA WALI NA NYAMA BAADA YA KUUKA ZAIDI YA MASAA 8
 MAEMBE NAYO YAKUKOSEKA KAMA WAZEE HAWA BAADA YA KUISHIWA NA HELA WAKAMUA KULA HATA HIZO EMBE KWA BEI YA MIA TANO KWA FUNGU MOJA
 MAFUNGU YA EMBE KAMA YANAVYOENEKANA HAPO SOKONI
 MAMA HUYO NA WANAWE WAKIWA HAJUI HATI YA SAFARI YAO HUKU MTOTO AKIWA CHINI
 WAKINAMAMA WAKIWA KATIKA MSHANGAO KUBWA WASIJIU LA KUFANYA
BAADHI WAKI WAMEJIIFAZI KWENYE VICHAKA KUTOKANA HALI KUKOSA SEHEMU YA KUKAA  by mohab dominick,

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply