Na
Kishapu
Dec 11,2013
Mtendaji wa
kijij cha Bubiki kata ya Bubiki Tarafa
ya Mondo, John Bonifance wilayani
kishapu mkoani shinyanga Hakumiwa jela
miaka mitatu kwa kosa la wizi wa chakula cha msaanda wa njaa,magunia 123.
Hakisoma Hukumu hiyo hakimu wa mahakama ya mwanzo mwadui Mh Hakimu
khalfani 0mary wilayani kishapu,akisoma hukumu hiyo mh hakimu alisema
john Bonifance alipokea jumla ya magunia 123 ya mahindi ya njaa mwaka
huu,magunia hayo yalipaswa kugawiwa
katika kijiji cha Busangwa kilichoko kata ya Bubiki.
Akiendelea
kusoma hukumu hiyo mahakama ilikuta na hatiani kwenda jela miaka 3 na kuamriwa kulipa
jumla ya magunia 123 ya mahindi yaliyoibwa chini ya uangalizi wake.
Mahakama
hiyo endelea kusema kitendo ,hicho kama mtumishi wa serikali kinatia aibu kubwa
kwa jamii iliyopo na kukosa imani na watendaji
wa namna hii.
Aidha
mahakama hiyo iliendelea kusema na hii ni onyo na tahadhari kwa viongozi wenye tabia hiyo
Ikiwa
takribani mwezi moja na nusu baada ya Agizo la mkuu wa wilaya ya kishapu Wilson
Nkhambaku kumsimamisha kazi mara moja na kumpandisha mahakamani Afisa huyo.
Hukumu hiyo
imepokelewa kwa mitazamo chanya na mwananchi
walio wengi ,hasa wanyonge waliokuwa ,wanakubwa na kadhia ya kuimbiwa
ama kupokonywa haki zao na baadhi ya viongozi wasio waadilifu kama hawa .
Mwisho
No comments: