sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MGODI WA ACACIA MINEG GOLD (BUZWAGI )WAKADHI MRAHABA MILION 843.196.KWA HALMASHAURI YA MJI WA KAHAMA

 Mkuu wa wilaya ya kahama Benson Mpesya akiwa katika ofisi yake kabla makabidhiano hayo.
 Mkuu wa wilaya akisikiliza jambo kwa umakini kabla kufukuzwa kwa muandishi wa habari wa blong hii kwa amri ya DC kutoka nje ya ukumbi huo.
 Hii ndiyo check iliyotolewa na mgodi wa Buzwagi leo asubuhi
Hawa ni baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya kahama na wajumbe wengine kabla ya kuanza kikao hicho saa 4 asubuhi

  
  Febraury 27,2015
     KAHAMA
Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi Unaomilikiwa na Kampuni ya Acacia Gold mineg imeaza kulipa ushuru wa mali ghafi katika halmashauri ya mji wa kahama.

Hayo yalisemwa na kaimu meneja mkuu wa mgodi wa buzwagi wakati wa makabidhiano wa hudi ya shilingi milioni 843.196 ,808 kwa halmashauri ya mji wa kahama kama ushuru wa huduma cha asilimia 0.3 ya mapato ya halmashauri.

Aidha Makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya kahama mbele ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na wakurungezi wa halmashauri tatu za ushetu ,msalala ,na mji na wajumbe mbali mbali wakiwemo wanahabari .

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply