sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » LAKI YA KAHAWA YALETA KIZAZA WAZEE WASHIKANA KURUNDISHA FEDHA YA KAHAWA.


 Baadhi ya wazee wa kijiwe cha kahawa wakiwa katika msangao baada ya wazee wenzao kuchukua fedha hizo za kahawa .
 Hapa ndiyo eneo la kijiwe cha kahawa wakiwa wanasubiri kunywa kahawa.

 Wazee wakinywa kahawa huku wakijadili jinsi gani hawa wazee wenzao ili kulipa fedha hizo.
 Mmoja wa wazee akiwa ameshika mpini wa shoka ambapo moja wao baada ya mgao wa shilingi elfu kumi.
 Hiki ni kijiwe cha kahawa bukombe alimarufu( chadema )
 Mfanyabishara Kyanyari Daeil alitoa fedha za kunywa kahawa shilingi laki moja ili wazee watumie kwa mwezi moja.
Mwenye kibarakashia Abdallah Hamisi akingawa kahawa ambapo ni eneo la jirani yake Kyanyari
BUKOMBE
Mmoja wa mfanyabiashara wilayani bukombe mkoani Geita Daeil kyanyari amecha vurungu kubwa katika kijiwe cha kahawa maarufu kwa jina la kijiwe cha chadema kwa kukadhiwa muuza kahawa laki moja kwa ajili ya wateja wake kunywa kwa mwezi moja.

Akiongea kwa masikitiko makubwa mumiliki wa kijiwe hicho Abdalla Hamisi alisema kuwa huyo jamaa ni jirani yangu tu alifika hapa kwakuwa  na ofisi hapa karibu na kijiwe hichi,aliona ni vyema kuwanunulia wazee kahawa,lakini hali hiyo iligeuka na baadhi ya wazee walianza kungawana fedha hizo badala ya kupatie mwenye kijiwe fedha hizo .

Moja ya wazee waliokuwepo hapo makonye masanja alisema kuwa kitendo kilichofanywa na baadhi ya wazee hawa ni wizi kwa kuwa mwenye kijiwe hicho halikuwa amekwenda kutafuta chenji kwa ajili ya wateja wake walikuwa wanakunywa kahawa hapa.

“Hunajua huyu jamaa mwenye kutoa hizo fedha alifika hapo na muuza kahawa yuko wapi?alijibiwa kuwa amekwenda kutafuta cheji ya wateja wake,ndipo alitoa kiasi cha laki moja kwa ajili ya kunywa kwa mwezi moja tu alisema makonye masanja.’’

  Aidha Abdalla aliwataja wazee waliokuwepo wakati wa kupokea fedha hizo na kuzingawa kwa pamoja aliwataja kwa majina yao moja moja kuwa ni Richard,kabote ,lena bank ,Bujumbula ,kijana wa mwalo,mzee wa Baiskeli ,mwingulu ,Juli mtusi ,na mgambo.akisimili hali hiyo Abdalla alisema kuwa mimi mwenye sikuamini kuwa hawa wazee wagefanya hiyo.

Nipashe ilifuta muhusika wa kutoa fedha hizo ili kupata ukweli wa jambo hilo naye alikuwa ha haya ya kusema kuwa huyu ni jirani yangu Abdalla niliona ni vema nikawapa wazee hela kwa ajili ya kunywa kahawa kama jirani yangu.

“mimi hapa ni jirani yangu nilichokifanya hapa ni upendo tu kama mungu alisema mpende jirani yako kama nafsi yako na mimi kwa kuwa hapa ni mgeni niliona ni vema kutoa fedha hiyo kiasi cha laki moja kwa mwenyeji wangu hapa na alipokea hapa na kutoa fedha hizo ili wazee wanywe kwa mwezi moja alisema kyanyari Daeil.’’

Aidha kanyari alisema sikuwa na nia mbaya kwa wazee wangu wao walifanya makosa tu ya kushindwa kumpa fedha hizo Abdalla na wao kunywa tu kahawa hizo kwa mwezi moja huo na sivingine alisema Daeil kanyayari kwa uzuni sana.

Mwisho

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply