sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AVUNJA MWIKO WA KUINGIA CHA DHAHABU KATIKA MIGODI YA DHAHABU BUZWAGI NA BULYANHULU

 MKUU WA MKOA WA SHINYANGA ZAINAB TELLACK  MWENYE KILEMBA KICHWANI AKIPOKELEWA NA MENEJA JASILIMALI WATU GEORGER MKAZA KWENYE MGODI WA DHAHABU BUZWAGI MJI KAHAMA MWENYE SHATI NYEUPE NI MKURUNGEZI WA HALMASHAURI YA MJI ANDERSON MSUMBA 

MENEJA JASILIAWATU MGODI WA BUZWAGI GEORGER MKAZA AKITOA MAELEKEZO KWA MKUU WA MKOA ZAINAB TELLACK WAKATI WA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA MGODI HUO 


 TWENDE UKAONE 

HAPA NI KWENYE GETI KUU LA KUHIFADHI DHAHABU KABLA YA MKUU WA MKOA KUINGIA NDANI YA CHUMBA CHA KUIHIFADHI DHAHABU  MGODI WA BUZWAGI 

MENEJA  JASLIWATU WA MGODI WA BUZWAGI AKIMPA MKUU WA MKOA MAELENZO JUU YA UZALISHAJI WA DHAHABU HUKU MKU WA WILAYA FADHILI NKURLU MWENYE SUTI NYEUSI AKISIKILIZA KWA MAKIN

 MOJA WA WAFANYAKAZI WA CHUMBA CHA KUHIFADHIA DHAHABU  ANNA KAHICHE MWENYE KOFIA  AKIINGIA NDANI YA CHUMBA   CHA  DHAHABU 

 MKUU WA MKOA WA SHINYANGA ZAINABU TELLACK AKIWA AMESHIKA KIPANDE CHA TOFARI  CHA DHAHABU CHENYE KILO 15 KWENYE CHUMBA CHA KUHIFADHIA DHAHABU WAKATI WA ZIARA YAKE YA KUSHUTUKIZA KATIKA MGODI HUO 


 HIVI NDIYO VIPANDE VYA DHAHABU ILIYOKUWA HIMEIFADHIWA KATIKA MGODI WA DHAHABU BUZWAGI

KUKIWA NA VITOFARI KUMI NA TATI (13) 



Serikali Mkoani shinyanga  imezuia kufanyika kwa shughuli za uchomaji na usafirishaji wa dhahabu katika mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama  hadi pale serikali kuu itakapotoa maelekezo yatakapotolewa ya kufanya hivyo

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga  Zainabu Telack akiwa na   na kamati ya ulunzi na usalama ya mkoa na wilaya  viongozi mbalimbali  amefanya ziara ya kushitukiza katika mgodi huo na kueleza kuwa serikali imeagiza kusitishwa kwa shughuli hizo hadi hapo maelekezo yatakapotolewa.

Aidha mkuu wa mkoa wa shinyanga  akiwa  ndani  chumba cha uzalishaji wa dhahabu  amejiridhisha na dhahabu zilizokuwa zimezalishwa kwa kupima upya uzito wa kila tofali la dhahabu na kueleza kuwa hakutakiwi kufanyika uchomaji wa dhahabu wala usafirishaji hadi maagizo kutoka serikali kuu yatakapotolewa.

 Mkuu wa mkoa aliutaka uongozi wa mgodi kupima dhahabu ili kuona uzito wa kila tofari moja la dhahabu ambapo kila moja ilikuwa na uzito tofauti katika kila tofari moja kati ya matofari yalikuwepo kwenye chumba hicho ni matofari kumi na tatu (13) ambapo zilipatikana kilo 157.487.7 kwa wiki mbili   ambapo uzalishaji huo ulifanyika toka tarehe   1.5.2017 mpaka tarehe 15.5.2017  ambapo sawa na wakia 555.48.

Aidha kwa upande wake meneja rasilimali watu alisema kuwa wao kama mgodi wamepokea  maelekezo hayo  na kunyafanyia kazi kwa wakati  na kutofanyika kwa  shughuli zozote  hadi hapo  maelekezo  yatakapotolewa  na serikali . 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

1 comments:

  1. Aisee tutaendelea kudanganywa, bora nigeria ihamie bongo, waulize shell wamefanyweje huko.
    wabongo colgate sana mtakuwa zaidi ya kondoo.

    ReplyDelete