sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » RAIS ATOA SIKU 11 KWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJI ANENA HAYA HAPA

 Rais wa jamhuri ya muunganio wa Tanzania Dr. John Pombe Maguful

amesema kuwa haiwezekani watu wa halmashauri ya Biharamulo wakaendelea kutekeseka wakati serikali imeshawawekea mazingira bora ya miundombinu, hivyo viongozi wachache wanatakiwa kuwajibika na wakishindwa ni bora wakajiondoa wenyewe.

Akihutubia mkutano wake katika ziara ya kikazi wilayani Biharamulo, rais Magufuli amemtaka mkurugenzi wa maji safi na usafi wa mazingiria Bukoba BUWASA, ambaye ndiye mkurugenzi anayesimamai upatikanaji wa maji katika halmashauri zinazosimamiwa na serikali katika miundombinu hiyo, kufikia julai 30 mwaka huu awe amefanikisha upatikanaji wa maji katika halmashauri ya Biharamulo, vinginevyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.
  

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply