sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » SERIKALI MKOANI SHINYANGA IMETAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA ASASI KIRAIA


 Baadhi ya washiriki waMradi wa pesa kwa wote wakiwa katika ukumbi wa Caritas mjini kahama


Afisa Mradi wa Pesa kwa Wote Fatuma Hassan 

 Baadhi ya washiriki wa mradi wa pesa kwa wote Emmanuel Mlelekwa
 Moja wa washirikiwa Mradi wa pesa kwa wote unafadhiliwa na mashirika ya Huheso Foundation na care
 Washiriki wakibadilishana
 Washiriki wakiwa katika wakati wa kuchambua mradi huu
 Moja wa washiriki toka katika kata za nyandekwa wakitoa maada juu ya ungumu wa wanakijij kujitokeza katika mradi huu wa pesa kwa wote
 Washiriki wa mradi wa pesa kwa wote
 Washiriki wa mradi wa pesa kwa wote

 Washiriki wa pesa kwa wote wakiwa katika ukumbi wa Caritas mjini kahama
 Mkurugenzi wa Asasi ya kirai ya HUHESO Foundation  Juma Mwesigwa katika kikao cha tathmini ya mradi wa Pesa kwa Wote na waelimishaji ngazi ya jamii unaotekelezwa na Asasi hiyo wilayani Kahama.
 

 Washiriki katika ukumbi




Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kutoa ushirikiano katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na asasi za kiraia yenye lengo la kuwainua wananchi kiuchumi ili kufikia lengo lililokusudiwa.

Wito huo ulitolewa leo na mkurugenzi wa Asasi ya kirai ya HUHESO Foundation  Juma Mwesigwa katika kikao cha tathmini ya mradi wa Pesa kwa Wote na waelimishaji ngazi ya jamii unaotekelezwa na asasi hiyo wilayani Kahama.

Mwesigwa alisema kuwa miradi hiyo si ya kudumu katika asasi hizo kwani baada ya kuisha muda wake vikundi vinavyohusika katika miradi hiyo hukabidhiwa  serikalini kwa ajili ya kuendelezwa hivyo ni vyema nguvu zaidi toka serikalini ikaanza kutolewa sasa.


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply