sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WANANCHI WA MKOA WA MARA WAFANYA MAPOKEZI MAKUBWA KWA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA EDWARD LOWASSA

 Nimesema mara kadhaa katika kampeni zangu, nasema tena, damu yangu inachemka kuwatumikia.
 Mgombea Urais Edward Lowassa  Akiwanadi madiwani leo J/mosi 10/10/2015 Mugumu  katika mkutano wa siasa 
 
Asanteni Tarime kwa mapokezi makubwa,Tarime kumbe inao watu wengi hivi! " Tarime
 Akiwasili Tarime mjini leo 10/10/2015 kwa ajili ya mkutano wa kampeni
 "Karibu Baba wa taifa wa pili EDO Mabadiliko" Hivi ndivyo Tarime ilivyompokea 
  Akiongea na wananchi wa Tarime katika viwanja vya 77 - 10/10/2015  
  "HATI YA USHUJAA  2015
 Bi.Esther Matiko akibadilishana mawazo na Mh Mgombea Urais Edward Lowssa . jimboni kwake Tarime 
  Mgombea jimbo la Tarime mjini Ester Matiko akiongea na Wanatarime leo 10/10/2015
 Wananchi wa "Konakry" waufuata tena msafara wa UKAWA na mgombea wao Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Mara!
 : "Asanteni Tarime kwa mapokezi makubwa,Tarime kumbe inao watu wengi hivi! " Tarime
 UMMA WA WANAMARA HUU

  Wanamusoma wakipiga deki barabara ili Mhe.Edward Lowassa kupita pakiwa njia safi mpaka IKULU

 Usafi mh Rais apite njia nyeupe kama nywele zake na Roho yake nyeupe
  John hech  Akiongea na wananchi wa Tarime mjini katika viwanja vya 77 Jana 10/10/2015
 Safisha njia kaka Mh Rais amekaribia kufika
 Wanamusoma wameshafika kwenye hoteli aliyofikia Mhe.  Edward Lowassa  wakimsubiri
Mh Edward Lowassa   Akiongea na Wazee wa Musoma wakimueleza changamoto za Musoma 



 Wanamusoma wakipiga deki barabara ili Mhe.  Edward Lowassa  aweze kupita J/pili

 UMATI MKUBWA UKIWA JUU YA PAAA MJINI MUSOMA KUSIKILIZA HOTUBA YA MGOMBEA URAIS EDWARD LOWASSA.
Mh Edward Lowassa  Akiongea na wananchi wa Tarime katika viwanja vya 77 - 10/10/2015
: "Asanteni Tarime kwa mapokezi makubwa,Tarime kumbe inao watu wengi hivi!   Tarime

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply