RAIS MAGUFULI AKIWA OFISINI IKULU
"Kwamba
maadhimisho ya Uhuru ya mwaka huu (2015) yatatumika kama kichocheo cha kujenga
tabia ya kufanya kazi (Uhuru na Kazi) katika Taifa letu. Mheshimiwa Rais
ameelekeza Watanzania wote siku hiyo waitumie kwa kufanya kazi mbalimbali
katika kutimiza dhana ya Uhuru na Kazi kwa vitendo."
No comments: