Mwenyekiti wa ccm wilaya ya kahama mwenye sharti la ccm Mabala Mlolwa akiwa na mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa wakati wa kufanya usafi katika madhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa cha hicho. |
Mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa akifanya usafi katika hospital ya wilaya ya kahama katika madhimisho ya miaka 39 ya ccm ambapo chama kiliamua kufanya usafi hapo . |
Katibu wa ccm wilaya ya kahama Alexendria katambi akiwa ameshika fyekeo la majini katika hospital ya wilaya ambapo ccm iliadhimisha kwa kufanya usafi katika hospital hiyo. |
Wanachama wa ccm wakifanya usafi katika hospital ya wilaya . |
Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wa kahama pia ni Diwani wa kata Nyasumbi Abeil Shija akifanya usafi katika hospital ya wilaya ya kahama ambapo ccm wilaya iliadhimisha kwa kufanya usafi hospial hapo |
Usafi |
Katibu mutadhari wa ccm Veronica H Hangwa akiwa akiwa anafangia eneo la kupitia wangojwa (Korindo )kwa wanapita wangojwa,ambapo. |
No comments: