sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MKUU WA WILAYA YA KAHAMA VITA KAWAWA HAKUTANA NA WAFANYABIASHARA NA KUTOA BEI ELEKEZI YA SUKARI 2200 KWA KILO

Mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa  picha hii alikuwa katika kikao cha wadau wa maji mjini kahama hivi karibuni
KUTOKANA na agizo la Rais John Magufuli la kuwasaka wafanyabiashara wa jumla wanaoficha sukari waiuze kwa Wananchi kwa bei elekezi ya Serikali, Jeshi la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga limefanya upekuzi katika baadhi ya  maghala ya kuhifadhia sukari na kuwabaini baadhi ya Wafanyabiashra wanne wanajihusisha na kazi hiyo.

Kwa mijibu wa Rais John Magufuli alitoa agizo ikiwa ni sambamba na Wafanyabishara hao  wa rejareja kuuza kwa bei iliyopangwa na Serikali ya Shilingi  1,800 wakati wafanyabiashara hao  wa maduka wamekuwa wakiuza Bidhaa hiyo kwa bei ya juu marambili ya ile ambayo walitakiwa kuwauzia Wafanyabiashara wa rejareja.

Mkuu wa wilaya ya kahama vita kawawa hatoa bei elekezi kwa wafanyabiasha wa kahama kuuza sukari kwa bei ya 2200 kwa kilo 


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply