Chacha marwa mwaiseko miaka( 37) ambaye alikuwa amelala chumba (E) katika geust house nyanda mjini kahama |
Hiki ndiyo kitanda alichokuwa amelala marehemu Marwa Chacha ambapo mauti yalimkuta katika Geust House hiyo |
Mlango wa chumbani ukiwa wasi toka usiku wa saa 5 mpaka majira ya saa 6 mchana |
Hiki ndiyo kitanda alichokuwa amelala marehemu Marwa Chacha |
Muhundumu wa Nyanda Geust house pili masanja, |
Hawa ndiyo Wahundumu wa Nyanda Geust house Ambao walindua marehemu chacha marwa amefariki dunia ipo mtaa wa manyovu kata ya majengo wilayani kahama. |
Huku ni mbele ya Geust House ya Nyanda Mjini kahama |
KAHAMA
Mtu moja mkazi wa kijiji cha pemba tarime mkoani mara chacha
marwa mwaiseko miaka( 37) au 40 amekutwa amefariki Dunia katika
nyumba ya kulala wangeni Nyanda Geust house mtaa wa manyovu kata ya majengo
wilayani kahama.
Akiongea na…….. Mohabmatukio.blogspot
.com…… mkuu wa kituo cha
polisi kahama mussa Mchenya kwa niamba ya kamanda wa polisi mkoa wa
shinyanga mika nyange alisema kweli tukio hilo limetokea juzi katika geust
house ya nyanda mjini kahama mtaa wa manyovu,ambapo marehemu alikuja kulala na
baadaye alitoka nje na kurudi usiku majira ya saa 4 usiku.
Aidha........... Mohabmatukio.blogspot .com…… ilitafuta kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga mika nyange kwa
njia ya simu naye alisema ni kweli tukio hilo limetokea wilayani kahama katika
nyumba ya kulala wangeni inaitwa nyanda geust house ambapo marehemu chacha
marwa alichukua chumba namba E na kulipa bei ya chumba na kutoka nje .
Kamanda mika alisema kuwa chanzo cha kubainika kwa marehemu
marwa ni muhudumu pili masanja, wakati wa kufanya usafi muda ulikuwa
umefika ndipo aliponguza mlango na kuona mlango huu huko wazi na kumona
mteja wake akiwa amelala fofo jambo ambalo lilisitua na kuomba msaada.
“mimi niliogopa sana mtu amelala hata hasituki ndipo niliomba
msaada kwa wateja wengine na kusema mtu huyu amekwisha fariki dunia tulifanya
mawasiliano na jeshi la polisi walifika na mwili wa chacha ulipelekwa hospital
alisema pili . ”
Aidha kamanda mika alisema kuwa marehemu wakati wa upekuzi
walikuta na hela kiasi cha shilingi elfu saba mia tisa(7,900) na risti ya pombe
kutoka silwa pub ya mwanza ambapo inaonyesha alikuwa nakunywa kinywaji cha bia
aina ya Balimi.
Akifafanua zaidi kamanda nyange alisema kuwa kwenye kitambulisho
chake cha kupiga kura kinaonyesha jina la samweli Paulo mkazi wa sengerema
mwanza ,kwenye kitabu cha wangeni ameandika jina la chacha marwa mkazi wa
kijiji cha pembe Tarime mkoa wa mara.
Aidha mika ametoa wito kwa watu wote kuwa wakweli wa kuandikisha
majina yao na makazi wanakotoka ilikuondoa usubufu kwa watu wengi na kifo akina
tarifa wakati wowote jambo hili linaweza kuupata alisema mika nyange kamanda wa
polisi mkoa wa shinyanga.
Mwili wa marehemu chacha marwa umeifadhiwa katika hospital ya
wilaya ya kahama kwa uchuguzi zaidi wa tukio hilo.
Mwisho
No comments: