sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» »Unlabelled » CCm wapeta kwa kura 323, Chadema kura 219, Tadea 98 Katika uchanguzi wa kata 27 ccm wameshida kata 23,chadema kata 3 na Nccr kata 1



Na 
Kahama
 MWENYEKITI WA CCM MKOA WA SHINYANGA KHAMISI MGEJA AKIWAPONGEZA WANANCHI WA KIJIJI CHA IHATA KWA KUKIAMINI CHAMA CHA MAPINDUZI CCM KWA KIPATIA KURA NYINGI KWA KISHINDO


 MWENYEKI WA CCM MKOA WA SHINYANGA KHAMISI MGEJA AKIHUTUBIA MKUTANO WA USHINDI JANA KATIKA KIJIJI CHA IHATA AMBAPO CCM WALISHINDA KWA KURA 323 DHIDI YA WAPINZANI WAO CHADEMA WALIPATA KURA 219 KATI YA WAPIGA KURA 640


Febr 10, 2014



CCm wapeta kwa kura 323,  Chadema kura 219, Tadea 98 Katika uchanguzi wa kata 27 ccm wameshida kata 23,chadema kata 3 na Nccr kata 1

Kufatia uchanguzi mdogo wa udiwani kata ya ubagwe wilayani kahama  mkoani shinyanga chama cha mapinduzi ( ccm) kimeibuka ushindi kwa kishindo kwa wapinzani kati ya vyama vitatu cha chama cha demokrasi na maendeleo (Chadema) na Tadea.

Akitangaza msimamizi wa uchanguzi sospeter Alseco alimtangaza mgombea kupitia chama cha mapinduzi( ccm) Hamisi majogoro kwa kura ameibuka kwa kura 323, Adamu Ngoma wa chadema alipata kura 219 na majija lubiza alibuka na kura 98 na msimamizi wa uchanguzi sospeter Alseco alimtangaza mshindi wa ccm hamisi majogoro kuwa mshindi kwa kura 323.na kuwashinda wa upinzani.

Akifafanua msimamizi wa uchanguzi huu sospeter alseco alisema kuwa jumla kuu ya watu walijiandikishakupinga kura  walikuwa zaidi ya elf sita( 600) sasa hali hii inaonyesha wazi kuwa wapiga kura waliopiga walikuwa 640

Naye mwenyekiti wa ccm mkoa wa shinyanga hamisi mgeja wamepongeza wananchi wa kata ubagwe katika kijiji cha  ihata kwa kukipatia chama cha mapinduzi ushindi huu na kusema wananchi wamekuwa wakiamini chama hicho,na kuwaomba kuwa watulivu kutokana na vurungu zilizojitokeza.

Akifafanua mgeja alisema ushindi huu siyo kwa wanaccm wa ubagwe peke yake  bali na wananchi nzima Tanzania ,pia alizidi kusema kuwa pamoja na wanachama wawili wa ccm kupotea mpaka sasa kutokana na matukio ya vurungu hizo na kujeruhi jumla ya wana ccm kumi na mbili tupo pamoja hao alisema mgeja.

Aidha Hamisi mgeja alisema kuwa kitendo hicho ni cha aibu kubwa katika kuleta demokrasi ya kweli kwa Tanzania wote leo hii hizi vurungu zinatuonyesha dila gani kwa upinzani hapa nchini.

“Nasema wasicheze amani hiliyopo hapa nchini  na hasa hawa wafasi wa chadema na tupo tayari kulinda amani kwa gharama yoyote ile  ni jambo la ajambo kiongozi kama mbuge kushiliki  kuvunja amani ya Tanzania  na chama cha mapinduzi kitaendelea kulinda amani ya watanzania wote bila ya kujali vyama vyao wala itikandi zao alisema mgeja ”

Pia mgeja wametaka wananchi wa kata ya ubagwe kurundi kweye nyumba zao walizokimbi kwa hofu ya kukamatwa na kukosa amani aidha mgeja alisema kuwa watu walijiandisha kupiga kura walikuwa 6000 lakini kutokana na hali ya vurungu hizi ni watu mia sita tu na arubahini walipiga kura hizo kutokana vurungu   

  jampo na ushindi huu ccm bado wananchi wanakiami chama chao cha    mapinduzi (ccm )na kuwataka kuwa wavumilivu kwa mambo haya yanayojitokeza na vurungu za baadhi ya vyama vya upinzani ambavyo imelindwa na chama tawala ccm .

 hata hiyo kwa mujibu wa mjumbe wa kamati kuu ya ccm wilaya kahama paschal Ntale   chama mapinduzi ccm kimeshinda viti 27katika uchanguzi wa  madiwani ccm wameshinda viti 23 kati ya hiyo na chadema wameshida viti vitatu na Nccr wao wameshinda kiti kimoja tu kata hizo .

 mwisho




 .






«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply