sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» »Unlabelled » Wanawake Wa Mgodi Wa Buzwagi Wakiwa Hospitali ya Halmashauri Mji wa kahama

 Baadhi ya wafanyakazi wa mgodi wa Buzwagi wakiwa katika hospital ya wilaya ya kahama kwa ajli ya kuwafariji wakinamama siku ya wanawake Duniani
 Kaimu mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Halimashauri ya mji wa kahama Emelecia Machibya na sofia mwenye mtoto ni mfanyakzi wa mgodi wa Afrikani Barrick God Mine siku ya wanawake Duniani
 Kaimu Mganga mkuu Mfawidhi Wa Halimashauri ya mji wa kahama Emeleciana Machimbya  Ambaye ameshika khanga mkononi  Akibidhiwa vitu mbali mbali viwemo mabeseni sabuni khanga kwa wakinamama Vifaa hivyo vyote vina  thamani ya shilingi milioni moja na laki saba (1.7)milioni
 Baadhi ya Wanafunzi wa shule ya sekondali mwendakulima wakiwa na wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi siku ya wanawake Duniani Ambapo wafanyakazi hayo walitembelea wanafunzi hao kwa kuwatia moyo kabla ya kuaaza mithiani yao ya kidato cha sita
 Wakinamama wa kijiji cha Buzwagi wakiwa na wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Afrikani Godi Mine
 Wanafunzi wa shule ya sekondali ya mwendakulima mjini kahama wakiwa na Baadhi ya wafanyakazi wa Buzwagi waki pamoja katika siku ya wanawake Duniani
 Baadhi ya wafanyakazi wa Afrikani God mine Buzwagi wakiwa pamoja wakitafakali juu ya ya siku ya mwanawake Duniani
Baadhi ya kina mama wa kijiji cha Buzwagi wakifurahi siku ya wanawake Duniani Katika kijiji cha mwendakulima

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply