sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » WATANZANIA WATAKIWA KUSOMA VITABU

 Mkurungezi Mkuu wa shule ya AnderleckSekondary  Alexander kazimiri akitoa hotuba kwa wangi waalikwa na wazazi wa watoto wanaotengemea kumaliza kidato cha 4.
 Mgeni Rasmi mwenye skafu ya jano Afisa mkuu ugawaji Rasilimali mamlaka ya Elimu Tanzania Masozi Nyirenda .
 Alexander kazimiri Mkurungezi mkuu wa Anderleck sekondary akiwa  makini kusikiliza  hotuba ya mgeni Rasmini kwenye Mahafali ya 12 ya shule hiyo .
 Baadhi ya wageni walikwa na mgeni Rasmini .
 kikundi cha bendi ya shule wakimba wimbo wa shule hiyo.
 Baadhi ya wanafunzi wa kiume wakiwa makini wakisikiliza hotuba ya mgini Rasmin

 Baadhi ya wanafunzi wa kike wakiwa makini kusikiliza hotuba ya mgeni Rasmin.

 Mmoja ya vikundi vya utamanduni wakichenza ngoma na kuimba nyimbo mbalimbali za shule na nyingine
 kikundi cha wanafuzi wakimba nyimbo ya kushukuru .

 Vijana wa Anderleck sekondary wakimba nyimbo ya kanda bong man .
 Mgeni Rasmi Akitoka katika ukumbi wa shule hiyo baada ya kumaliza shughuli za mahafari ya kumi na mbili ya shule hiyo .

 Mgeni Rasmi Afisa mkuu ugawaji Rasilimali  mamlaka ya Elimu Tanzania Masozi Nyirenda .
 Meza kuuu wakisikilaza Hotuba ya mgeni Rasim
 Baadhi ya Wadau wa Elimu wilaya ya kahama walikuwepo kama wanavyonekana kwenye picha ya pamoja .
 Wazazi na wadau wa Elimu wakiwapongeza watoto wao shuleni hapo .

 Picha ya pamoja na mgeni Rasmi

 Wazazi wakifurahia vijana wao.


 Vijana wa skauti wakimtoa mgeni Rasmini kumuanga nje ya ukumbi .

WATANZANIA wametakiwa kurudisha utamuduni wa zamani wa  kujisomea vitabu mbalimbali kwa muda mwingi ili kuweza kuweza kuongeza maarifa pamoja na kuwa sambamba na mataifa mengine na kufiti katika soko la Dunia kwa sasa.

Wito huo umetolewa juzi na Mkurugenzi wa shule ya Sekondari ya Anderleck ya Mjini Kahama Alexander Kazimiri katika mahafali ya 12 ya shule hiyo yaliofanyika mjini Kahama huku wahitimu 158 wakihitimu kidato cha nne katika shule hiyo.

Kazimiri alisema kuwa kwa sasa jamii nyingi za kitanzania hazina utamaduni wa kujisomea Vitabu na hivyo kuchangia kwa kiasi kikubwa kupitwa na mambo mengi yanayoendelea katika dunia hii ya sasa na kuongeza kuwa wanafunzi wakati wakisubiri matokeo yao ni bora wakawa wakijisomea majumbani.

Alisema kuwa kwa sasa Taifa limepoteza mwelekeo mkubwa hususani kwa vijana ambao kwa kiasi kikubwa hawasikilizi hata viopindi vya Radio vya kijamii ambavyo vinaweza kuwapa upeo wa kuweza kuyakabili maisha hata wawapo majumbani kwao na kupata maarifa makuibwa.

Mkurugenzi huyo pia aliaani mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na kusisitiza jamii kubalika kwa sasa na kumwogopa mungu kwani vitendo hivyo ni vya kinyama na vinapaswa kukemewa na kila mtu ili viweze kutoweka kabisa.

“Sisi tunalaani vitendo vya mauwaji ya albino vinavyofanywa na watu wenye roho mbaya na itendo hivyo ni kinume na haki za binadamu, wenye imani tushinde makanisani pamoja na misikitini kulaani unyama hui mkubwa”, Alisema Alexander Kazimiri Mkurugenzi wa Anderleck Sekondari.

Kwa upande wake Mgeni Rasmi katika mahafali hayo Afisa Mkuu Ugawajio Rasilimali  kutoka mamlaka ya Elimu Tanzania Masozi Nyirenda alisema kuwa kwa sasa Wanafunzi wanatakiwa kuwa ni watu wa kutangaza ajira na sii kusubiri ajira.

Masozi aliwataka pia Wanafunzi wawapo majumbani wawe mabalozi wa kuweza kuripioti matukio  ya maovu yanayotendeka katika jamii kwanui na wao no ja katika sehemu ya jamii katika Taifa zima za kitanzania.

“Usalama kwa maendeleo ya Taifa ni la kila mtu akiwemo mwanafunzi kwa hiyo ni bora mkaonyesha ushirikiano wenu  pamoja na serikali yenu katika suala zima la ulinzi na usalama”, Alisema Masozi Nyirenda katika mahafali hayo.

Mwisho.




«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply